4 wala kusikiliza hadithi za uwongo+ na mambo ya kutafuta-tafuta ukoo, ambayo mwisho wake si kitu,+ lakini ambayo hutokeza maswali ya utafiti badala ya kugawa kitu chochote kutoka kwa Mungu kuhusiana na imani.
7 Lakini kataa hadithi za uwongo+ ambazo huchafua mambo matakatifu na ambazo wanawake wazee husimulia. Kwa upande mwingine, uwe ukijizoeza ujitoaji-kimungu ukiwa ni shabaha yako.+