6 yaani, kwamba watu wa mataifa wawe warithi wa pamoja na viungo vyenzi vya mwili+ na washiriki pamoja nasi wa ahadi+ katika muungano na Kristo Yesu kupitia habari njema.
4 Kwa maana haiwezekani kamwe kwa habari ya wale ambao wametiwa nuru+ mara moja kwa wakati wote, na ambao wameonja zawadi ya bure+ ya kimbingu, na ambao wamekuwa washiriki wa roho takatifu,+