Kumbukumbu la Torati 1:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Wakati wote huo Yehova alisikia sauti ya maneno yenu. Basi akakasirika, akaapa,+ na kusema, Zaburi 106:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo akainua mkono wake katika kiapo juu yao,+Kwamba angewafanya waanguke nyikani,+