Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 asimheshimu baba yake hata kidogo.’+ Na kwa hiyo ninyi mmelibatilisha neno la Mungu kwa sababu ya mapokeo yenu.+

  • Matendo 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa mitume na ndugu waliokuwa katika Yudea wakasikia kwamba watu wa mataifa+ walikuwa pia wamepokea neno la Mungu.

  • 1 Wathesalonike 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa kweli, ndiyo sababu sisi tunamshukuru Mungu pia bila kuacha,+ kwa sababu mlipolipokea neno la Mungu,+ ambalo mlilisikia kutoka kwetu, mlilikubali, si kama neno la wanadamu,+ bali, kama vile lilivyo kwa kweli, kama neno la Mungu, ambalo pia linafanya kazi ndani yenu waamini.+

  • 1 Wathesalonike 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana tunawaambia hivi kwa neno la Yehova,+ kwamba sisi tulio hai ambao tutabaki mpaka kuwapo kwa Bwana+ hatutawatangulia kwa vyovyote wale ambao wamelala usingizi katika kifo;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki