Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Je, neno langu halilingani na moto,”+ asema Yehova, “na kama nyundo ya chuma ambayo huvunja mwamba?”+

  • Zekaria 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema.

  • Yohana 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba imeandikwa: “Bidii kwa ajili ya nyumba yako itanila.”+

  • 1 Petro 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu yenye kuharibika,+ bali kupitia ile isiyoharibika+ yenye kuzaa,+ kupitia neno la Mungu+ aliye hai na anayedumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki