Waefeso 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 kwa sababu kupitia yeye, sisi, vikundi vyote viwili vya watu,+ tunaweza kumkaribia+ Baba kwa roho moja.+ Waebrania 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa njia ya kuingia+ katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu,
18 kwa sababu kupitia yeye, sisi, vikundi vyote viwili vya watu,+ tunaweza kumkaribia+ Baba kwa roho moja.+
19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa njia ya kuingia+ katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu,