17 Naye Israeli hakika ataokolewa kwa kuwa katika muungano na Yehova+ apate wokovu mpaka nyakati zisizo na kipimo.+ Ninyi hamtaona aibu,+ wala hamtafedheheshwa+ mpaka nyakati zisizo na kipimo za milele.
6 Naye akasema: “Limekuwa si jambo dogo kwako kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo na kuwarudisha hata waliolindwa wa Israeli;+ mimi pia nimekutoa uwe nuru ya mataifa,+ ili wokovu wangu ufike katika sehemu ya mwisho ya dunia.”+
11 Kwa sababu ya taabu ya nafsi yake yeye ataona,+ atatosheka.+ Kupitia ujuzi wake mtu mwadilifu, mtumishi wangu,+ atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu;+ naye mwenyewe atayachukua makosa yao.+