28 Kisha Musa akamvua Haruni mavazi yake na kumvika Eleazari mwana wake mavazi hayo, kisha Haruni akafa huko juu ya mlima huo.+ Naye Musa na Eleazari wakashuka kutoka mlimani.
33 Eleazari mwana wa Haruni akafa pia.+ Basi wakamzika katika Kilima cha Finehasi mwana wake,+ ambacho alikuwa amempa katika eneo lenye milima la Efraimu.