15 “Naye atamchinja yule mbuzi wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili ya watu,+ naye ataileta damu yake ndani ya pazia+ na kufanya na hiyo damu+ sawa na vile alivyofanya na ile damu ya ng’ombe-dume; naye ataitapanya kukielekea kifuniko na mbele ya kifuniko.
34 Ni nani ambaye atahukumu kuwa na hatia? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, afadhali zaidi kusema yeye ndiye aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliye kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, ambaye pia hutuombea.+