9 Mwishowe wakafika mahali ambapo Mungu wa kweli alikuwa amemwonyesha, naye Abrahamu akajenga madhabahu+ hapo na kuziweka kuni kwa utaratibu, akamfunga Isaka mwana wake mikono na miguu na kumweka juu ya madhabahu juu ya zile kuni.+
16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+