Waroma 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana uumbaji+ unangojea na kutazamia kwa hamu+ kufunuliwa kwa wana wa Mungu.+ 2 Wakorintho 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “ ‘Nami nitakuwa baba kwenu,+ nanyi mtakuwa wana na mabinti kwangu,’+ asema Yehova Mweza-Yote.”+ 1 Yohana 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wapendwa, sasa sisi ni watoto wa Mungu,+ lakini bado haijafunuliwa jinsi tutakavyokuwa.+ Tunajua kwamba wakati wowote atakapofunuliwa+ tutakuwa kama yeye,+ kwa sababu tutamwona kama vile yeye alivyo.+
2 Wapendwa, sasa sisi ni watoto wa Mungu,+ lakini bado haijafunuliwa jinsi tutakavyokuwa.+ Tunajua kwamba wakati wowote atakapofunuliwa+ tutakuwa kama yeye,+ kwa sababu tutamwona kama vile yeye alivyo.+