4 Na ikawa kwamba Yezebeli+ alipowakatilia mbali manabii+ wa Yehova, Obadia aliwachukua manabii 100, akawaficha wakiwa vikundi viwili vya watu 50 pangoni, naye akawapa mkate na maji.)+
9 Mwishowe hapo akaingia pangoni,+ ili alale humo usiku; na tazama! palikuwa na neno la Yehova kwa ajili yake, nalo likamwambia: “Una kazi gani hapa, Eliya?”+