Waebrania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 sisi tutaponaje+ ikiwa tumepuuza+ wokovu mkuu+ namna hii kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana+ wetu nasi tukathibitishiwa+ na wale waliomsikia, Waebrania 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa mwito wa mbinguni,+ mfikirieni mtume+ na kuhani mkuu tunayemkiri+—Yesu. Waebrania 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kwa kadiri hiyo pia Yesu amekuwa yule aliyetolewa kuwa rehani ya agano bora.+ Ufunuo 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+
3 sisi tutaponaje+ ikiwa tumepuuza+ wokovu mkuu+ namna hii kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana+ wetu nasi tukathibitishiwa+ na wale waliomsikia,
3 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa mwito wa mbinguni,+ mfikirieni mtume+ na kuhani mkuu tunayemkiri+—Yesu.
6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+