Wagalatia 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo na tusife moyo katika kufanya yaliyo mema,+ kwa maana katika majira yanayofaa tutavuna ikiwa hatuchoki kabisa.+ 2 Wathesalonike 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa upande wenu, akina ndugu, msiache kutenda yaliyo sawa.+
9 Kwa hiyo na tusife moyo katika kufanya yaliyo mema,+ kwa maana katika majira yanayofaa tutavuna ikiwa hatuchoki kabisa.+