Zaburi 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitalitangaza jina lako+ kwa ndugu zangu;+Katikati ya kutaniko nitakusifu wewe.+ Zaburi 40:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nimetangaza habari njema ya uadilifu katika kutaniko kubwa.+Tazama! Siizuii midomo yangu.+Ee Yehova, wewe mwenyewe unajua hivyo vema.+ Luka 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo akaanza kuwaambia: “Leo andiko hili ambalo mmesikia sasa hivi limetimizwa.”+ Luka 19:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 akisema: “Kama wewe, naam, wewe, ungalikuwa umefahamu+ leo mambo yanayohusiana na amani—lakini sasa yamefichwa kutoka machoni pako.+
9 Nimetangaza habari njema ya uadilifu katika kutaniko kubwa.+Tazama! Siizuii midomo yangu.+Ee Yehova, wewe mwenyewe unajua hivyo vema.+
42 akisema: “Kama wewe, naam, wewe, ungalikuwa umefahamu+ leo mambo yanayohusiana na amani—lakini sasa yamefichwa kutoka machoni pako.+