26 Nami nitawarudisha tena waamuzi kwa ajili yako kama hapo kwanza, na washauri kwa ajili yako kama pale mwanzoni.+ Kisha wewe utaitwa Jiji la Uadilifu, Mji Mwaminifu.+
17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+