1 Wakorintho 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana sisi ni wafanyakazi wenzi wa Mungu.+ Ninyi ni shamba la Mungu linalolimwa,+ jengo la Mungu.+ 1 Petro 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+
9 Kwa maana sisi ni wafanyakazi wenzi wa Mungu.+ Ninyi ni shamba la Mungu linalolimwa,+ jengo la Mungu.+
5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+