3 Mungu akaibariki siku ya saba na kuifanya takatifu, kwa kuwa katika siku hiyo amekuwa akipumzika kutokana na kazi yake yote ya kuumba ambayo Mungu alikusudia kuifanya.+
9 na kufanya watu waone jinsi siri takatifu+ inavyosimamiwa+ ambayo tangu wakati uliopita usio na kipimo imefichwa katika Mungu, aliyeviumba vitu vyote.+