Waroma 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+ 1 Wakorintho 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho. Wafilipi 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 na mwisho wao ni uharibifu,+ na mungu wao ni tumbo lao,+ na utukufu wao uko katika aibu+ yao, nao wamekaza akili zao juu ya vitu vilivyo duniani.+
28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+
14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.
19 na mwisho wao ni uharibifu,+ na mungu wao ni tumbo lao,+ na utukufu wao uko katika aibu+ yao, nao wamekaza akili zao juu ya vitu vilivyo duniani.+