Luka 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Ole, wakati wowote ule watu wote wanaposema vema juu yenu, kwa maana mambo kama hayo ndiyo ambayo mababu zao waliwafanyia manabii wa uwongo.+ Wagalatia 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kweli, je, sasa ninajaribu kushawishi wanadamu au Mungu? Au je, ninatafuta kuwapendeza wanadamu?+ Kama ningekuwa bado ninawapendeza wanadamu,+ mimi singekuwa mtumwa+ wa Kristo.
26 “Ole, wakati wowote ule watu wote wanaposema vema juu yenu, kwa maana mambo kama hayo ndiyo ambayo mababu zao waliwafanyia manabii wa uwongo.+
10 Kwa kweli, je, sasa ninajaribu kushawishi wanadamu au Mungu? Au je, ninatafuta kuwapendeza wanadamu?+ Kama ningekuwa bado ninawapendeza wanadamu,+ mimi singekuwa mtumwa+ wa Kristo.