Yohana 9:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Yesu akawaambia: “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na dhambi. Lakini sasa mnasema, ‘Tunaona.’+ Dhambi+ yenu inabaki.” Yohana 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kama singekuja na kuwaambia, hawangekuwa na dhambi;+ lakini sasa hawana sababu ya kujitetea kwa ajili ya dhambi yao.+
41 Yesu akawaambia: “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na dhambi. Lakini sasa mnasema, ‘Tunaona.’+ Dhambi+ yenu inabaki.”
22 Kama singekuja na kuwaambia, hawangekuwa na dhambi;+ lakini sasa hawana sababu ya kujitetea kwa ajili ya dhambi yao.+