42 Na Ahabu akapanda, akaenda zake kula na kunywa. Naye Eliya akapanda juu ya Karmeli na kuanza kuchutama chini,+ akaweka uso wake katikati ya magoti yake.+
45 Na ikawa kwamba wakati huo mbingu zikatiwa giza kwa mawingu na upepo+ na mvua kubwa sana ikaanza kunyesha.+ Na Ahabu akaendelea kupanda gari, akaenda zake Yezreeli.+