Matendo 5:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa hiyo, wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamehesabiwa kuwa wenye kustahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake.+ 1 Petro 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msikiogope kile kitu wanachokiogopa,+ wala msifadhaike.+ 1 Petro 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ikiwa mnashutumiwa kwa ajili ya jina la Kristo,+ ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu ile roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.+
41 Kwa hiyo, wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamehesabiwa kuwa wenye kustahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake.+
14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msikiogope kile kitu wanachokiogopa,+ wala msifadhaike.+
14 Ikiwa mnashutumiwa kwa ajili ya jina la Kristo,+ ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu ile roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.+