Methali 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hutaogopa kitu chochote chenye kuogopesha ghafula,+ wala dhoruba inayowajia waovu, kwa sababu inakuja.+ Wafilipi 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 nanyi msiwaogope hata kidogo wapinzani+ wenu. Jambo hili ni uthibitisho wa uharibifu kwao, lakini wa wokovu kwenu;+ na ishara hii inatokana na Mungu,
25 Hutaogopa kitu chochote chenye kuogopesha ghafula,+ wala dhoruba inayowajia waovu, kwa sababu inakuja.+
28 nanyi msiwaogope hata kidogo wapinzani+ wenu. Jambo hili ni uthibitisho wa uharibifu kwao, lakini wa wokovu kwenu;+ na ishara hii inatokana na Mungu,