Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimejiendesha mbele za Mungu kwa dhamiri+ iliyo safi kikamilifu mpaka leo hii.”

  • Matendo 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.

  • 1 Timotheo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kweli lengo la amri hii ni upendo+ kutokana na moyo safi+ na kutokana na dhamiri njema+ na kutokana na imani bila unafiki.+

  • 1 Timotheo 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 ukishika imani na dhamiri njema,+ ambayo wengine wameitupa kando+ na imani yao imevunjika.+

  • 1 Timotheo 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 wakiishika siri takatifu+ ya imani kwa dhamiri safi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki