Matendo 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimejiendesha mbele za Mungu kwa dhamiri+ iliyo safi kikamilifu mpaka leo hii.” Matendo 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu. 1 Timotheo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli lengo la amri hii ni upendo+ kutokana na moyo safi+ na kutokana na dhamiri njema+ na kutokana na imani bila unafiki.+ 1 Timotheo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 ukishika imani na dhamiri njema,+ ambayo wengine wameitupa kando+ na imani yao imevunjika.+ 1 Timotheo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 wakiishika siri takatifu+ ya imani kwa dhamiri safi.+
23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimejiendesha mbele za Mungu kwa dhamiri+ iliyo safi kikamilifu mpaka leo hii.”
16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.
5 Kwa kweli lengo la amri hii ni upendo+ kutokana na moyo safi+ na kutokana na dhamiri njema+ na kutokana na imani bila unafiki.+