Matendo 7:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Bali mlichukua hema la Moloki+ na nyota+ ya mungu Refani, maumbo mliyoyafanya ili kuyaabudu. Kwa sababu hiyo nitawahamishia+ ninyi ng’ambo ya Babiloni.’
43 Bali mlichukua hema la Moloki+ na nyota+ ya mungu Refani, maumbo mliyoyafanya ili kuyaabudu. Kwa sababu hiyo nitawahamishia+ ninyi ng’ambo ya Babiloni.’