Mathayo 24:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 “Lakini mtumwa huyo mwovu akisema moyoni mwake,+ ‘Bwana wangu anakawia,’+ Luka 12:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Lakini ikiwa wakati wowote mtumwa huyo atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia kuja,’+ naye aanze kuwapiga watumishi na vijakazi, na kula na kunywa na kulewa,+
45 Lakini ikiwa wakati wowote mtumwa huyo atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia kuja,’+ naye aanze kuwapiga watumishi na vijakazi, na kula na kunywa na kulewa,+