25 Ni jambo lisilowaziwa kwako kwamba unatenda namna hii kuua mtu mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile kama ilivyo kwa mwovu!+ Ni jambo lisilowaziwa kwako.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”+
16 Lakini dunia ikaja kumsaidia mwanamke,+ nayo dunia ikafungua kinywa chake na kuumeza mto ambao yule joka mkubwa aliutapika kutoka katika kinywa chake.