Mwanzo 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Alipoendelea kukawia,+ ndipo kwa huruma za Yehova kwake,+ wale wanaume wakaushika mkono wake na mkono wa mke wake na mikono ya binti zake wawili. Wakamtoa nje na kumweka nje ya jiji.+
16 Alipoendelea kukawia,+ ndipo kwa huruma za Yehova kwake,+ wale wanaume wakaushika mkono wake na mkono wa mke wake na mikono ya binti zake wawili. Wakamtoa nje na kumweka nje ya jiji.+