Mathayo 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na hata hivyo nitawaambia waziwazi: Sikuwajua ninyi kamwe!+ Ondokeni kwangu, ninyi wenye matendo ya uasi-sheria.+ Waroma 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa kweli Sheria hutokeza ghadhabu,+ lakini mahali ambapo hapana sheria, hapana pia kosa lolote.+
23 Na hata hivyo nitawaambia waziwazi: Sikuwajua ninyi kamwe!+ Ondokeni kwangu, ninyi wenye matendo ya uasi-sheria.+