Waroma 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo msiache dhambi iendelee kutawala kama mfalme+ katika miili yenu inayoweza kufa hivi kwamba mzitii tamaa+ zake. 1 Petro 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo kwa kuwa Kristo aliteseka katika mwili,+ ninyi pia jivikeni silaha ya mwelekeo uleule wa akili;+ kwa sababu mtu ambaye ameteseka katika mwili ameachana na dhambi,+
12 Kwa hiyo msiache dhambi iendelee kutawala kama mfalme+ katika miili yenu inayoweza kufa hivi kwamba mzitii tamaa+ zake.
4 Kwa hiyo kwa kuwa Kristo aliteseka katika mwili,+ ninyi pia jivikeni silaha ya mwelekeo uleule wa akili;+ kwa sababu mtu ambaye ameteseka katika mwili ameachana na dhambi,+