1 Yohana 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Kile kilichokuwa tangu mwanzo,+ ambacho tumesikia,+ ambacho tumeona kwa macho yetu,+ ambacho tumetazama+ kwa uangalifu na mikono yetu ikakigusa,+ kuhusu neno la uzima,+ 2 Yohana 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi sasa ninakuomba, Ee bibi, kama mtu anayekuandikia, si amri+ mpya, bali ambayo tulikuwa nayo tangu mwanzo,+ kwamba tupendane.+
1 Kile kilichokuwa tangu mwanzo,+ ambacho tumesikia,+ ambacho tumeona kwa macho yetu,+ ambacho tumetazama+ kwa uangalifu na mikono yetu ikakigusa,+ kuhusu neno la uzima,+
5 Basi sasa ninakuomba, Ee bibi, kama mtu anayekuandikia, si amri+ mpya, bali ambayo tulikuwa nayo tangu mwanzo,+ kwamba tupendane.+