10 “ ‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao,+ nao watakuwa watu wangu.+
3 Kwa maana nilishangilia sana wakati akina ndugu walipokuja na kutoa ushahidi kuhusu kweli ambayo wewe unashika, kama vile unavyoendelea kutembea katika kweli.+