Mathayo 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya+ mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+ 1 Petro 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa kusudi kwamba aishi wakati wake uliobaki katika mwili,+ si kwa ajili ya tamaa za wanadamu tena, bali kwa ajili ya mapenzi ya Mungu.+
21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya+ mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+
2 kwa kusudi kwamba aishi wakati wake uliobaki katika mwili,+ si kwa ajili ya tamaa za wanadamu tena, bali kwa ajili ya mapenzi ya Mungu.+