Yohana 4:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 mvunaji anapokea mshahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele,+ ili mpandaji+ na mvunaji wapate kushangilia pamoja.+ Waebrania 10:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa hiyo, msiutupilie mbali uhuru wenu wa kusema,+ ulio na thawabu+ kubwa ya kulipwa.
36 mvunaji anapokea mshahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele,+ ili mpandaji+ na mvunaji wapate kushangilia pamoja.+