Zaburi 101:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+Huyo ninamnyamazisha.+Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+Huyo siwezi kumvumilia.+ Methali 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+
5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+Huyo ninamnyamazisha.+Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+Huyo siwezi kumvumilia.+