Hesabu 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi wakakutana dhidi ya+ Musa na Haruni na kuwaambia: “Imetosha, kwa sababu kusanyiko lote, wote hao ni watakatifu+ na Yehova yuko katikati yao.+ Kwa nini, basi, mjiinue wenyewe juu ya kutaniko la Yehova?”+ Hesabu 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nayo dunia ikafungua kinywa chake na kuwameza wao na nyumba zao na wanadamu wote waliokuwa wa Kora na mali zote.+
3 Basi wakakutana dhidi ya+ Musa na Haruni na kuwaambia: “Imetosha, kwa sababu kusanyiko lote, wote hao ni watakatifu+ na Yehova yuko katikati yao.+ Kwa nini, basi, mjiinue wenyewe juu ya kutaniko la Yehova?”+
32 Nayo dunia ikafungua kinywa chake na kuwameza wao na nyumba zao na wanadamu wote waliokuwa wa Kora na mali zote.+