Zaburi 149:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ili kutekeleza kisasi juu ya mataifa,+Kuvikemea vikundi vya mataifa,+ Ezekieli 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nitafanya katikati yao matendo makubwa ya kisasi, kwa makaripio yenye ghadhabu;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoleta kisasi changu juu yao.” ’ ”+ 2 Wathesalonike 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+
17 Nami nitafanya katikati yao matendo makubwa ya kisasi, kwa makaripio yenye ghadhabu;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoleta kisasi changu juu yao.” ’ ”+
6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+