Yakobo 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mnaomba, na bado hampokei, kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya,+ ili mvitumie kwa tamaa zenu za mwili.+ 2 Petro 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.
3 Mnaomba, na bado hampokei, kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya,+ ili mvitumie kwa tamaa zenu za mwili.+
18 Kwa maana wao husema maneno ya kujigamba yasiyo na faida, na kwa tamaa za mwili+ na tabia zenye upotovu wao hushawishi+ wale wanaotoka tu kuponyoka+ kutoka kwa watu ambao hujiendesha kwa njia ya makosa.