Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao mstari wa nne utakuwa krisolito,+ shohamu+ na yashefi. Matundu ya dhahabu yanapaswa kuwa katika vijazio vyake.+

  • Wimbo wa Sulemani 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mikono yake ni mianzi ya dhahabu, imejazwa krisolito. Tumbo lake ni bamba la pembe ya tembo lililopambwa kwa yakuti.

  • Ezekieli 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kuonekana kwa magurudumu+ hayo na muundo wake, kulikuwa kama mng’ao wa krisolito;+ nayo yote manne yalikuwa mfano mmoja. Na kuonekana kwake na muundo wake ni kama vile gurudumu linavyokuwa katikati ya gurudumu.+

  • Danieli 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ na uso wake kama umeme,+ na macho yake kama mienge yenye kuwaka moto,+ na mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki