Ufunuo 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na akaja mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho,+ naye akasema nami na kuniambia: “Njoo hapa, nitakuonyesha bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”+
9 Na akaja mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho,+ naye akasema nami na kuniambia: “Njoo hapa, nitakuonyesha bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”+