Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na katika siku ya tatu kulipokuwa asubuhi, mingurumo na umeme zikaanza kutokea,+ na wingu zito+ juu ya mlima na sauti kubwa sana ya pembe,+ hivi kwamba watu wote waliokuwa kambini wakaanza kutetemeka.+

  • Ufunuo 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na umeme+ na sauti na ngurumo+ zinatoka katika kile kiti cha ufalme; na taa+ saba za moto zinawaka mbele ya kile kiti cha ufalme, na hizo zinamaanisha zile roho saba+ za Mungu.

  • Ufunuo 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi zile ngurumo saba ziliposema, nilikuwa karibu kuandika; lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni+ ikisema: “Yatie muhuri mambo+ ambayo zile ngurumo saba zilisema, nawe usiyaandike hayo.”

  • Ufunuo 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na umeme na sauti na ngurumo zikatokea, na kukatokea tetemeko kubwa la nchi+ la namna ambayo haijatokea tangu wanadamu walipokuja kuwa duniani,+ tetemeko la nchi+ lenye kuenea sana, lililo kubwa sana.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki