Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 mali zilizojaa+ za dhahabu na fedha na jiwe la thamani na lulu na kitani bora na zambarau na hariri na vitambaa vyekundu; na kila kitu cha miti iliyotiwa manukato na kila namna ya kitu cha pembe ya tembo na kila namna ya kitu kinachotokana na miti ya thamani zaidi na cha shaba na cha chuma na cha marumaru;+

  • Ufunuo 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wakatupa mavumbi juu ya vichwa+ vyao na kupaaza kilio, wakilia na kuomboleza,+ na kusema, ‘Ole, ole,—lile jiji kubwa, ambalo wale wote walio na mashua baharini+ walikuwa matajiri+ kwa sababu ya utajiri wake mkubwa, kwa sababu katika saa moja amefanywa ukiwa!’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki