Kutoka 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Usiue.+ Hesabu 35:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Yeyote anayemuua mtu* anapaswa kuuawa kama muuaji+ ikiwa kuna ushahidi kutoka kwa mashahidi;+ lakini hakuna mtu atakayeuawa* kwa ushahidi wa mtu mmoja tu. Mathayo 26:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Ndipo Yesu akamwambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wote wanaochukua upanga wataangamia kwa upanga.+
30 “‘Yeyote anayemuua mtu* anapaswa kuuawa kama muuaji+ ikiwa kuna ushahidi kutoka kwa mashahidi;+ lakini hakuna mtu atakayeuawa* kwa ushahidi wa mtu mmoja tu.
52 Ndipo Yesu akamwambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wote wanaochukua upanga wataangamia kwa upanga.+