30 pango lililo katika shamba la Makpela mbele ya Mamre katika nchi ya Kanaani, shamba ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa Efroni Mhiti ili liwe mahali pa kuzikia. 31 Walimzika huko Abrahamu na Sara mke wake.+ Walimzika huko Isaka+ na Rebeka mke wake, na huko ndiko nilikomzika Lea.