Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Utamleta Haruni na wanawe kwenye mlango wa hema la mkutano+ na kuwaosha kwa maji.+

  • Kutoka 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kisha chukua mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na uyamimine juu ya kichwa chake na kumtia mafuta.+

  • Kutoka 30:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe utamtia mafuta Haruni+ na wanawe+ na kuwatakasa ili wanitumikie wakiwa makuhani.+

  • Matendo 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 kumhusu Yesu aliyetoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akapita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi,+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+

  • 2 Wakorintho 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini yule anayetoa uhakikisho kwamba ninyi na sisi ni wa Kristo na yule ambaye ametutia mafuta ni Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki