Kutoka 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Utamleta Haruni na wanawe kwenye mlango wa hema la mkutano+ na kuwaosha kwa maji.+ Kutoka 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kisha chukua mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na uyamimine juu ya kichwa chake na kumtia mafuta.+ Kutoka 30:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nawe utamtia mafuta Haruni+ na wanawe+ na kuwatakasa ili wanitumikie wakiwa makuhani.+ Matendo 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 kumhusu Yesu aliyetoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akapita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi,+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+ 2 Wakorintho 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini yule anayetoa uhakikisho kwamba ninyi na sisi ni wa Kristo na yule ambaye ametutia mafuta ni Mungu.+
38 kumhusu Yesu aliyetoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akapita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi,+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+
21 Lakini yule anayetoa uhakikisho kwamba ninyi na sisi ni wa Kristo na yule ambaye ametutia mafuta ni Mungu.+