Nehemia 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hata walipojitengenezea sanamu ya ndama wa chuma* na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wenu aliyewaongoza kutoka Misri,’+ nao wakatenda matendo makubwa ya ukosefu wa heshima, Zaburi 106:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Walitengeneza ndama kule HorebuNa kuiinamia sanamu ya chuma;*+20 Waliubadili utukufu wanguKwa mfano wa ng’ombe dume anayekula nyasi.+ Matendo 7:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Ndipo wakatengeneza ndama siku hizo na kuiletea sanamu hiyo dhabihu nao wakaanza kufurahia kazi za mikono yao.+
18 Hata walipojitengenezea sanamu ya ndama wa chuma* na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wenu aliyewaongoza kutoka Misri,’+ nao wakatenda matendo makubwa ya ukosefu wa heshima,
19 Walitengeneza ndama kule HorebuNa kuiinamia sanamu ya chuma;*+20 Waliubadili utukufu wanguKwa mfano wa ng’ombe dume anayekula nyasi.+
41 Ndipo wakatengeneza ndama siku hizo na kuiletea sanamu hiyo dhabihu nao wakaanza kufurahia kazi za mikono yao.+