Luka 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote: “Bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, kisha utoe toleo la kutakaswa kwako, kama alivyoagiza Musa,+ ili kuwa ushahidi kwao.”+ Luka 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Alipowaona, akawaambia: “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.”+ Basi walipokuwa wakienda wakatakaswa.+
14 Kisha akamwagiza mtu huyo asimwambie mtu yeyote: “Bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, kisha utoe toleo la kutakaswa kwako, kama alivyoagiza Musa,+ ili kuwa ushahidi kwao.”+
14 Alipowaona, akawaambia: “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.”+ Basi walipokuwa wakienda wakatakaswa.+