Mambo ya Walawi 27:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, mtu yeyote aliyehukumiwa na kutengwa ili aangamizwe hawezi kukombolewa.+ Ni lazima auawe.+ Kumbukumbu la Torati 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini katika majiji ya mataifa haya, ambayo Yehova Mungu wenu anawapa yawe urithi wenu, hampaswi kuacha hai kitu chochote kinachopumua.+ Yoshua 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waisraeli wakajichukulia nyara zote na mifugo katika majiji hayo.+ Lakini wakawaangamiza wanadamu wote kwa upanga.+ Hawakumwacha mtu yeyote anayepumua.+
29 Zaidi ya hayo, mtu yeyote aliyehukumiwa na kutengwa ili aangamizwe hawezi kukombolewa.+ Ni lazima auawe.+
16 Lakini katika majiji ya mataifa haya, ambayo Yehova Mungu wenu anawapa yawe urithi wenu, hampaswi kuacha hai kitu chochote kinachopumua.+
14 Waisraeli wakajichukulia nyara zote na mifugo katika majiji hayo.+ Lakini wakawaangamiza wanadamu wote kwa upanga.+ Hawakumwacha mtu yeyote anayepumua.+