1 Mambo ya Nyakati 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wana wa Efraimu+ walikuwa Shuthela,+ Beredi mwana wa Shuthela, Tahathi mwana wa Beredi, Eleada mwana wa Tahathi, na Tahathi mwana wa Eleada, 1 Mambo ya Nyakati 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Walimiliki na kuishi Betheli+ na katika miji yake, na upande wa mashariki, Naarani, na upande wa magharibi, Gezeri na miji yake, na Shekemu* na miji yake, mpaka Aya na miji yake;
20 Wana wa Efraimu+ walikuwa Shuthela,+ Beredi mwana wa Shuthela, Tahathi mwana wa Beredi, Eleada mwana wa Tahathi, na Tahathi mwana wa Eleada,
28 Walimiliki na kuishi Betheli+ na katika miji yake, na upande wa mashariki, Naarani, na upande wa magharibi, Gezeri na miji yake, na Shekemu* na miji yake, mpaka Aya na miji yake;